
Ruge Mutahaba, a programme’s manager at Cloud Media Group in Tanzania breathed his last on Tuesday.The media mogul died of kidney failure while undergoing treatment in South Africa.
President Magufuli led the nation in mourning the death of the man who doubled up as a music promoter.
He tweeted that:
Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha kijana wangu Ruge Mutahaba. Daima nitamkumbuka kwa mchango wake mkubwa ktk tasnia ya habari, burudani, na juhudi za kujenga fikra za maendeleo kwa vijana. Poleni wanafamilia,ndugu,jamaa na marafiki. Mungu amweke mahali pema, Amina
Former Tanzanian president Jakaya Kikwete described Ruge as a creative who helped him while he was the President of Tanzania.
Nimelemewa! Nakosa maneno ya kuelezea huzuni na majonzi niliyonayo kwa kifo cha Ruge Mutahaba. Taifa limepoteza kijana wake mahiri, mbunifu na mzalendo wa kweli. Nimepoteza rafiki, mshirika mwaminifu na mtu ambaye amenisaidia kwa mengi ktk uongozi wangu na hata baada ya kustaafu. Moyo wangu uko pamoja na wazazi wake, ndugu zake na familia yake katika kipindi hiki kigumu. Namuombea kwa Mola ampe Mapumziko Mema Peponi. Ameen” Wrote Jakaya Kikwete.
Tanzanian celebrities, politicians, colleagues, friends, fans and family have come together to celebrate this hero.
May his soul rest in peace.
The post Tanzanians mourn media mogul Ruge Mutahaba appeared first on Kenya News Alerts.